Skip to main content

Chuja:

farhan haq

UN yazipongeza Korea Kaskazini na Kusini

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amekaribisha hatua ya Korea Kaskazini na Korea Kusini kufungua tena mawasiliano ya niia ya simu kati yao.

Hatua ya nchi hizo mbili kufungua mawasiliano ya moja kwa moja kati ya marais wao ilitangazwa Jumatano ambapo Katibu Mkuu kupitia naibu msemaji wake Farhan Haq amesema..

(Sauti ya Farhan Haq)

UN yafuatilia maandamano Iran

Umoja wa Mataifa umesema unafuatilia kwa karibu hali inayoendelea nchini Iran ambako maandamano yanayodaiwa kuwa ni ya kupinga serikali yameingia siku ya tano huku watu 22 wakiripotiwa kuuawa.

Naibu msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Farhan Haq amesema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo aliulizwa iwapo Katibu Mkuu Antonio Guterres ana kauli yoyote kuhusu kinachoendelea Iran.

(Sauti ya Farhan Haq)