Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Ezechiel Nibigira

OCHA/Christian Cricboom

Burundi sasa ni shwari tuungeni mkono katika uchaguzi:Nibigira

Waziri wa mambo ya nje wa Burundi Ezechiel Nibigira ameiambia Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa kuwa anakusudia baadaye hii leo kuuleza mjadala mkuu wa mkutano wa 74 wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA74 pamoja na mambo mengine, kuhusu hatua za maendeleo ambazo Burundi imepiga na pia kuiomba jumuiya ya kimataifa kuiunga mkono nchi yake.

Sauti
2'12"
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, (kulia) akiwa na Waziri wa Mambo ya nje wa Burundi  Ezéchiel Nibigira  baada ya mazungumzo yao jijini New York, Marekani
Picha ya UN /Eskinder Debebe

Burundi twafanya uchaguzi mwakani, tuungeni mkono- Waziri Nibigira

Waziri wa mambo ya nje wa Burundi Ezechiel Nibigira ameiambia Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa kuwa anakusudia baadaye hii leo kuuleza mjadala mkuu wa mkutano wa 74 wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA74 pamoja na mambo mengine, kuhusu hatua za maendeleo ambazo Burundi imepiga na pia kuiomba jumuiya ya kimataifa kuiunga mkono nchi yake.

Sauti
2'12"