Skip to main content

Evariste Ndayishimiye

07 JULAI 2022

Hayawi hayawi sasa yamekuwa na leo jarida linajikita katika maadhimisho ya siku ya kiswahili duniani kuanzia habari kwa ufupi ambayo imebisha hodi Paris Ufaransa kwenye makao makuu ya shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, halikadhalika Zanzibar ambako huko Jumuiya ya Afrika MAshariki imekuwa na maadhimisho maalum bila kusahau kauli ya Gertrude Mongela kuhusu hatua ya Kiswahili kutambulika kimataifa.

Sauti
10'44"