Burundi sasa inasonga mbele baada ya majanga mfululizo- Rais Ndayishimiye
Jumuiya ya kimataifa hii leo imejulishwa kuwa Burundi hivi sasa imekwamuka kutoka katika janga la kisiasa ambalo sio tu lilisababisha vifo vya wananchi bali pia liliharibu mazingira na inaelekea kwa kijasiri njia ya mafanikio.