Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, limezindua mapendekezo ya matamanio lakini yanayoweza kufikiwa kwa urahisi kwa mwaka 2020 kwa Croatia na Ujerumani, ambazo ni maraisi wa Baraza la Muungano wa Ulaya,EU. Mapendekezo hayo ni kuhusu ulinzi kwa wakimbizi