Shirika la chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO na Muungano wa Ulaya, EU, leo wamesisitiza kuendeleza ushirikiano kati yao kwa lengo la kushughulikia masuala kama vile kuongezeka kwa njaa na kuleta ustawi na amani sambamab na kujenga jamii endelevu duniani.