Umoja wa Mataifa, Muungano wa Afrika, Muungano wa Ulaya, serikali ya Uingereza na serikali ya Marekani wamekatribisha hatua iliyochukuliwa na waziri mkuu wa Somalia Hassan Ali Khaire kuwaeleza wadau hao wa kimataifa kuhusu mabaddiliko katika sekta ya usalama nchini humo na miapango inachukuliwa na serikali kuendelea kuimarisha hali ya usalama Somalia.