Zaidi ya wahamiaji 2000 wa Ethiopia warejea nyumbani kutoka Yemen:IOM
Wahamiaji zaidi ya 2100 raia wa Ethiopia wamerejea nyumbani kutoka Yemen kwa msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.
Wahamiaji zaidi ya 2100 raia wa Ethiopia wamerejea nyumbani kutoka Yemen kwa msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.
Wakati maombolezo ya vifo vya wafanyakazi 21 wa Umoja wa Mataifa yakiendelea katika ofisi mbalimbali duniani kote, shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa mazingira UNEP, mjini Nairobi Kenya ni miongoni mwa mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopata pigo la ajali hiyo.
Wakati maombolezo ya vifo vya wafanyakazi 21 wa Umoja wa Mataifa yakiendelea katika ofisi mbalimbali duniani kote, shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa mazingira UNEP, mjini Nairobi Kenya ni miongoni mwa mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopata pigo la ajali hiyo.