Programu ya UNICEF Turkana yawasaidia watoto wa kike kurejea shuleni
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto duniani UNICEF kwa kushirikiana na serikali ya Kenya wanaendesha programu maalum ya “Elimisha mtoto” inayowachagiza wazazi na watoto wa kike waliocha shule wakati wa janga la corona au COVID-19 na kwa sababu ya mimba za utotoni, na sababu nyingine kurejea shuleni.
(TAARIFA YA FLORA NDUCHA)
Nattss….