Skip to main content

Elenor Rosevelt

Chukua hatua, simamia haki za binadamu:Zeid

Leo ni siku ya kimataifa ya haki za binadamu duniani ambayo kila mwaka huadhimishwa tarehe 10 ya mwezi Desemba. Mwaka huu ikiwa ni wa 69 tangu kupitishwa kwa azimio namba 2017  la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa hapo Desemba mwaka 1948, Kamisha mkuu wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Zeid Raa’d al Hussein ametoa ahadi ya kuhakikisha haki hizo zinapiganiwa na kuheshimiwa