Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

EKYAN

Walengwa wa mradi unaoungwa mkono na UNICEF, uitwao EKYAN, wanapata ujuzi na fursa kupitia mkazo wake wa kuwawezesha vijana wa maeneo ya vijijini kupitia kilimo bora na lishe.
UNICEF

UNICEF yawainua vijana wakulima huko Kirinyaga nchini Kenya

Kaunti ya Kirinyaga, iliyoko katikati mwa nchi ya Kenya kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Nairobi, inashuhudia mageuzi mapya katika sekta ya kilimo kupitia mradi wa kuwahusisha vijana  katika kilimo na lishe unaojulikana kama EKYAN. Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF, na wadau nchini humo.  

Sauti
3'9"