Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Edem Wosornu

UNOCHA/Christian Cricboom

Edem Wosornu: Watu wa Haiti wanaomba mambo matatu

Wakati wa ziara ya siku nne nchini Haiti hivi karibuni, Mkurugenzi wa Uendeshaji na Utetezi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuratibu Misaada ya Dharura (OCHA), Edem Wosornu ametembelea maeneo kadhaa ya miradi ya misaada ya kibinadamu na kukutana na jamii zilizoathirika, mamlaka za Haiti, pamoja na washirika wa kitaifa, kimataifa na wa ndani, kujadili janga la kibinadamu nchini humo pamoja na mikakati zaidi ya misaada ya dharura.

Sauti
3'7"
Edem Wosornu, Mkurugenzi wa Operesheni na Utetezi katika shirika la Umoja wa Mataifa la kutoa misaada ya dharura OCHA akiwa na watoto katika mji mkuu wa Haiti, Port-au-Prince.
UNICEF/ Herold Joseph

Watu wa Haiti wanaomba mambo matatu - Edem Wosornu

Wakati wa ziara ya siku nne nchini Haiti hivi karibuni, Mkurugenzi wa Uendeshaji na Utetezi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuratibu Misaada ya Dharura (OCHA), Edem Wosornu ametembelea maeneo kadhaa ya miradi ya misaada ya kibinadamu na kukutana na jamii zilizoathirika, mamlaka za Haiti, pamoja na washirika wa kitaifa, kimataifa na wa ndani, kujadili janga la kibinadamu nchini humo pamoja na mikakati zaidi ya misaada ya dharura.

Sauti
3'7"
Edem Wosornu, Mkuu wa kitengo cha Operesheni na Uchechemuzi kwenye Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na masuala ya kibinadamu na kuratibu masuala ya dharura OCHA.
UN News

Maisha ya kila siku nchini Sudan ni jinamizi - OCHA

Mkuu wa kitengo cha Operesheni na Uchechemuzi kwenye Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na masuala ya kibinadamu na kuratibu masuala ya dharura OCHA Edem Wosornu amesema maisha ya kila siku ya wananchi nchini Sudan yamegubikwa na sintofahamu kutokana na vita inayoendelea hivyo amesihi pande husika kukomesha mapigano na wakati huo huo wahisani waongeze ufadhili wa kibinadamu. 

Sauti
1'52"