Daktari anayejitolea kuwasaidia manusura wa ISIL
Huko Kaskazini mwa Iraq, daktari wa kike kutoka jamii ya Yazidi anajitolea maisha yake kuwasaidia wanawake ambao walikuwa chini ya himaya ya kundi la ISIL lakini wakafanikiwa kutoroka.
Huko Kaskazini mwa Iraq, daktari wa kike kutoka jamii ya Yazidi anajitolea maisha yake kuwasaidia wanawake ambao walikuwa chini ya himaya ya kundi la ISIL lakini wakafanikiwa kutoroka.