Watoto wengi walikosa chanjo muhimu mwaka 2018- Ripoti
Makadirio mapya yaliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na shirika la afya duniani WHO kuhusu masuala ya chanjo yanaonesha mwenendo wa hatari wa kuzorota kwa viwango vy utoaji chanjo kote duniani kutokana na vita, kutokuwepo kwa usawa na malalamiko. Jason Nyakundi na maelezo zaidi.