Licha ya yale “makubaliano ya Istanbul ya kuvusha nafaka”, hakuna matarajio ya kumalizika vita Ukraine
Umoja wa Mataifa una wasiwasi mkubwa kuhusu kukosekana kwa matarajio ya kuanza tena kwa juhudi za kidiplomasia za kumaliza vita nchini Ukraine. Amesema leo Mkuu wa Idara ya siasa kwenye Umoja wa Mataifa Rosemary DiCarlo, akizungumza katika Baraza la Usalama jijini New York Marekani.