Skip to main content

Chuja:

Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus

Upimaji wa homa ya ini Togo
UN

Tunaishi mara moja na tuna ini moja, tutokomeze Homa ya Ini – Dkt. Tedros wa WHO

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni (WHO) Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus kupitia ujumbe wake kwa Siku ya Kimataifa ya Homa ya Ini inayoadhimishwa kila Julai 28, amesema kwa kuwa wanadamu tunaishi mara moja na tuna ini moja, WHO imejitolea kushirikiana na nchi zote na wadau wote ili kutimiza maono ya pamoja ya kutokomeza virusi vya homa ya ini ifikapo 2030.  

Sauti
1'59"