Skip to main content

Chuja:

Dkt. Mukhisa Kituyi

UN News/Grece Kaneiya

Ufadhili kwa ajili ya SDGs unakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo za kisiasa-UNCTAD

Ripoti ya mwaka 2019 kuhusu kuwekeza kwa ajili ya maendeleo endelevu ya kikosi kazi cha mashirika mbali mbali kuhusu uwekezaji kwa ajili ya maendeleo inaonya kwamba kuchangisha fedha zinazohitajika kwa ajili ya kutekeleza ajenda ya mwaka 2030 ya maendeleo endelevu inasalia kuwa changamoto.

Licha ya kwamba kuna ishara za mafanikio, lakini uwekezaji ambao ni muhimu katika kufikia malengo ya maendeleo endelevu, SDGs bado hayajafadhiliwa ipasavyo na mifumo ya kimataifa inakabiliwa na wakati mgumu.

Sauti
3'48"

10 JANUARI 2020

Flora Nducha wa UN News Kiswahili anatupa habari zifuatazo:

-Ripoti ya Umoja wa Mataifa yaonya yaliyojiri baina ya Walendu na Wahema DRC huenda ukawa uhalifu dhidi ya ubinadamu 

-Kwa mujibu wa UNCTAD uwekezaji kutoka pato la taifa ni hatua ya kwanza katika kufanikisha SDGs Afrika

-Mahitaji ya upinzani Lirangu Sudan Kusini yamenza kutimizwa kwa mujibu wa UNMISS

-Kamati ya kimataifa ya Olimpiki IOC hii leo imelitunukia tuzo ya juu ya kikombe cha  Olimpiki shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi UNHCR 

Sauti
10'37"
UNnewskiswahili/Patrick Newman

Kucheza kamari sio uwekezaji- Kituyi

Katibu Mkuu wa kamati ya biashara na maendeleo ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD Dkt. Mukhisa Kituyi amesema teknolojia ya kuwa na fedha kwenye mtandao wa simu hadi mashinani itakuwa na maana zaidi pale watu watatumia fedha hizo kujiongezea kipato. 

Sauti
3'11"