Dkt. Isaac Maro

UNICEF

Kuwa na mtoto mwenye usonji ni changamoto na COVI-19 imeongeza zaidi

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusiana na tatizo la usonji, Umoja wa Mataifa umetaka mshikamano na watu wenye tatizo hilo la kiafya hasa wakati huu wa mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona, au COVID-19.

Nchini Tanzania janga la COVID-19 hata hivyo limetia doa maadhimisho hayo kama anavyoelezea Isaac Maro ambaye pia ni mzazi wa mtoto mwenye usonji.

(SAUTI YA DKT. ISAAC MARO)

Sauti
3'3"