Katibu Mkuu wa UN asihi kuongezwa kwa juhudi za kidiplomasia kuepusha migogoro Ukraine
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameeleza wasiwasi wake hii leo Jumatatu kuhusu hatari ya mzozo wa kijeshi nchini Ukraine na kutoa wito wa kuimarishwa kwa juhudi za kidiplomasia.