Shirika la afya Ulimwenguni, WHO limetia saini leo Jumanne makubaliano na taasisi ya kimataifa ya dawa zinazotengenezwa bila kufuata masharti ya ataza ambayo ni haki ya umiliki wa dawa halisi, IGBA kwa ajili ya kuimarisha upatikanaji wa dawa kwa wote ambao hukwamishwa na sababu mbali mbali.