Nchi lazima zichukue hatua kuhakikisha matumizi ya dawa ni salama bila madhara:WHO
Shirika la afya la Umoja wa Mataifa Ulimwenguni WHO limesema , nusu ya madhara yote yanayoweza kuzuilika katika huduma za afya yanahusiana na dawa, huku robo ya madhara hayo ni mabaya sana au yanayohatarisha maisha.