Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

#Dataforum

OCHA/Rita Maingi

Elimu kuhusu hifadhi ya jamii Tanzania kusaidia kupanua wigo

Wakati Umoja wa Mataifa ukieleza kuwa upataji wa huduma za hifadhi ya jamii bado ni changamoto kubwa wa wakazi wengi wa dunia, Tanzania imeamua kuchukua hatua madhubuti kwa kutambua kuwa hifadhi  bora ya jamii ni jawabu la siyo tu kupunguza umaskini wa  kaya bali pia umaskini katika ngazi ya taifa.

Tanzania imechukua hatua kuhakikisha hifadhi ya jamii inakuwa na manufaa si tu kwa wafanyakazi walio kwenye sekta rasmi ambao wanachangia mifuko hiyo, bali pia kundi kubwa la watu walio kwenye sekta isiyo rasmi wakiwemo wanawake.

Sauti
1'28"