Ili Afrika tuzifikie SDGs kwa ubora, inabidi tuanze kukusanya takwimu zetu sisi wenyewe-Isaya Yunge
Ili nchi za kiafrika ziweze kufikia kwa ubora malengo ya maendeleo endelevu, SDGs, inazipasa nchi hizo zibuni teknolojia zao wenyewe zitakazosaidia kukusanya takwimu za kijamii badala ya kutegemea data na mipango kutoka nje.