Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Damascus

Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO linawasaidia wakulima wanaoishi katika mazingira magumu katika viunga vya nje kidogo ya mji mkuu wa Syria, Damascus kukabiliana vyema na mabadiliko ya tabianchi kwa kulima mimea ya dungusikakati isiyo
UN Video

Syria: Dungusikakati ni mkombozi kwa wafugaji na mazingira - FAO 

Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO linawasaidia wakulima wanaoishi katika mazingira magumu katika viunga vya nje kidogo ya mji mkuu wa Syria, Damascus kukabiliana vyema na mabadiliko ya tabianchi kwa kulima mimea ya dungusikakati isiyo na miba ili waweze kuwalisha mifugo wao hasa nyakati za ukame. Taarifa ya Anold Kayanda inafafanua zaidi.  

Sauti
2'27"
Watoto wakiteka maji huko Douma, mji ulioko kwenye eneo la Ghouta Mashariki, nje kidogo ya mji mkuu wa Syria, Damascus.
UNICEF/Bassam Khabieh

Mkuu wa WFP ziarani Ghouta Mashariki nchini Syria

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la mpango wa chakla duniani, David Beasley yuko ziarani nchini Syria ambapo anatembelea maeneo ya Ghouta Mashariki na viunga vya mji mkuu Damascus, maeneo ambayo awali yalikuwa yamezingirwa na vikundi vilivyojihami na hivyo kukwamisha harakati za mashirika ya binadamu kufikisha misaada.