CSW67 yafungua rasmi pazia kwa wito wa kuongeza wanawake kwenye sayansi na teknolojia
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mfumo wa kidunia haufanyi kazi na mfumo dume unasukuma nyuma maendeleo ya wanawake hivyo ni lazima juhudi ziendelee kuhakikisha maslahi na maendeleo ya wanawake yanafikiwa duniani kote.