Skip to main content

Chuja:

CRPD

UN News

Tanzania inatekeleza kwa vitendo mkataba wa haki za watu wenye ulemavu- Mbunge Amina

Leo ni siku ya watu wenye ulemavu ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa ujumbe wake akisema kuwa, “tunapolinda haki za watu wenye ulemavu, tunasonga mbele kufikia ahadi kuu ya Ajenda ya 2030 - kutowaacha yeyote nyuma,”  akisema kuwa, hata hivyo bado kuna mengi ya kufanya, tumeona maendeleo muhimu katika kujenga ulimwengu jumuishi kwa wote.

Sauti
3'15"
Hapa ni kwenye moja ya soko nchini Thailand, wadudu wakiuzwa kama kitoweo.
P.B. Durst

Miongoni mwa tulizokuwa nazo wiki hii

Watu wenye ulemavu wakumbukwe katika suala la utalii-Mbunge Tanzania. Mtu 1 kati ya 3 duniani hana fursa ya kupata maji safi ya kunywa na huduma za kujisafi- UNICEF/ WHO. Ili kukomesha ukatili wa ngono katika mizozo juhudi zaidi zahitajika:EU/UN. Matibabu ya kifafa bado ni shida kubwa kwa nchi za kipato cha chini- WHO.  Nzige na Parara ndio chakula cha siku zijazo- Chef Ali