Ukoma ni ulemavu, utambuliwe na waathirika wapatiwe hifadhi ya jamii- Mtaalam UN
Watu wenye ukoma na familia zao wamesubiri muda mrefu sana ili haki zao za kuwa na ulemavu ziweze kutambuliwa kitaifa na kimataifa, amesema mtaalamu huru wa Umoja wa Mataifa hii leo kwa ripoti yake kwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Leah Mushi na taarifa zaidi.