Mazingira duni sekta ya malezi yatishia haki za watu wenye ulemavu- Mtaalamu
Mijadala kuhusu hatma ya huduma za malezi katika karne hii ya 21 lazima zipatie kipaumbele mazingira ya kazi na fursa za ajira, la sivyo haki za watu wenye ulemavu zitakuwa mashakani, amesema Mtaalamu huru wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa hii leo.