Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Cox’s Bazaar

Umoja wa Mataifa

WHO yaimarisha hatua za kuzuia COVID 19 Cox's Bazar

Ili kusaidia kusambaa kwa COVID-19 miongoni mwa wakimbizi wa Rohingya katika kambi ya Cox's Bazar, nchini Bangladesh, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa, WHO na washirika wake wanaongeza ufuatiliaji na upimaji wa magonjwa, kuanzisha vituo vya matibabu na kuihusisha jamii ili wakazi wa kambi wajue kujilinda na familia zao.

Sauti
2'24"

22 APRILI 2020

Leo katika jarida la Umoja wa Mataifa Flora Nducha anakuletea

-Umoja wa Mataifa unasema janga la virusi vya Corona au COVID-19 ni kengele ya kuiamsha dunia kuchukua hatua kulinda sayari hiyo na watu wake  hasa leo ikiadhimishwa siku ya kimataifa ya mama sayari dunia

- Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na jiji la Nairobi wanachukua hatua kudhibiti kusambaa wa virusi vya corona au COVID-19, kwenye makazi dunia ya Kibera.

Sauti
12'44"