Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

COP16

Mwanamume mmoja anapanda mti kaskazini mwa Burkina Faso.
© World Bank/Andrea Borgarello

Watu bilioni tatu duniani wameathiriwa na mmomonyokowa ardhi: COP16

Watu bilioni tatu duniani kote wanateseka kutokana na athari za ardhi duni na iliyomomonyoka ambayo "itaongeza viwango vya watu kuhama makwao, ukosefu wa utulivu na usalama miongoni mwa jamii nyingi," kulingana na Rais aliyechaguliwa hivi karibuni wa mkutano unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa kuhusu kuenea kwa jangwa, ukame na urejeshaji wa ardhi unayofanyika Riyadh, Saudi Arabia.

Courtesy Colombian Ministry of E

COP16: Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Baionuai waanza nchini Colombia

Mkutano wa 16 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa bayonuai (COP16) umeng’oa nanga leo katika mji wa Santiago de Cali au Cali huko nchini Colombia ambapo mataifa 196 yatajadili jinsi ya kusitisha na kubadili mwelekeo wa kudorora kwa ulimwengu wa asili. 

COP16  kwa siku 12, viongozi na wadau kutoka kote duniani wanatarajiwa kujadili  namna ya wanadamu kuishi kwa amani na asili ya ulimwengu, kama wasemavyo nchi  mwenyeji Colombia kwa lugha ya kihispanyola Paz con la Naturaleza yaani amani na asili.

Sauti
1'30"