Wanasayansi wanawake huko Colombia watumia taaluma yao kurejesha matumbawe yaliyoharibiwa kutokana na shughuli za kibinadamu
Shughuli za utalii, uchafuzi wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi zimechochea kuleta wasiwasi kwa wananchi wa kisiwa cha San Andres nchini Colombia kutokana na matumbawe waliyokuwa wanategemea kuvutia watalii kuanza kuharibika na samaki wa asili nao wameanza kupotea.