Skip to main content

Chuja:

chuki dhidi ya Wayahudi 

Wayahudi kutoka Subcarpathian Rus wanakabiliwa na mchakato wa uteuzi kwenye ramp huko Auschwitz-Birkenau, Poland.
US Holocaust Memorial Museum/Yad Vashem

Mauaji ya maangamizi makubwa yalikuwa kilele cha miongo ya chuki dhidi ya wayahudi: Guterres

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kumbukizi ya waathitrika wa mauaji ya maangamizi makubwa au Holocaust Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António  Guterres amesema mauaji hayo yalikuwa ni malimbikizo ya miongo ya chuki dhidi ya wayahudi ndio maana sasa ni wakati wa kuhakikisha chuki za aina yoyote ile zinakomeshwa duniani.

Sauti
2'23"