Nimejisikia vibaya sana kumpoteza mwenzangu Chitete - Koplo Omary
Wiki hii kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa kumetolewa tuzo ya juu zaidi ya ulinzi wa amani ya Kapteni Mbaye Diagne.
Wiki hii kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa kumetolewa tuzo ya juu zaidi ya ulinzi wa amani ya Kapteni Mbaye Diagne.
Koplo Ali Khamis Omary ni mlinda amani mtanzania aliyeokolewa na mlinda amani marehemu Chau ncy Chitete kutoka Malawi ambapo akihojiwa na Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam hii leo ameeleza kusikitishwa na kifo cha mwenzake na anaanza kwa kueleza tukio lilivyotokea.
Koplo Ali Khamis Omary ni mlinda amani mtanzania aliyeokolewa na mlinda amani marehemu Chau ncy Chitete kutoka Malawi ambapo akihojiwa na Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam hii leo ameeleza kusikitishwa na kifo cha mwenzake na anaanza kwa kueleza tukio lilivyotokea.
Koplo Ali Khamis Omary ni mlinda amani, Komandoo mtanzania aliyeokolewa na mlinda amani marehemu Chau ncy Chitete kutoka Malawi ambapo akihojiwa na Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam hii leo ameeleza kusikitishwa na kifo cha mwenzake na anaanza kwa kueleza tukio lilivyotokea.
Hii leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani kumefanyika maadhimisho ya siku ya walinda amani duniani ikienda sambamba na utoaji wa nishani kwa walinda amani waliopoteza maisha wakihudumu kwenye sehemu ya mizozo. Flora Nducha na maelezo zaidi.