Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

CEDAW

Photo: IRIN/Mujahid Safodien

Hatua za kulinda wanawake dhidi ya ukatilia ziko njia sahihi DRC

Mkutano  wa Kamati ya watalaam wa Baraza la Haki za Binadamu kuhusu ukomezaji wa mifumo yote ya kibaguzi dhidi ya wanawake CEDAW, unaendelea jijini Geneva Uswisi ambapo viongozi kutoka nchi mbalimbali wanajadili mikakati ya kutokomeza mifumo kandamizi kwa wanawake duniani kote. Leo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC imeelezea jinsi wanawake walivyopiga hatua.

Sauti
1'55"
Muathirika wa ukatili wa kingono mjini Goma DRC.
Picha ya UN/Marie Frechon (Maktaba)

DRC sasa marufuku kuoa msichana wa chini ya miaka 18

Mkutano  wa Kamati ya watalaam wa Baraza la Haki za Binadamu kuhusu ukomezaji wa mifumo yote ya kibaguzi dhidi ya wanawake CEDAW, unaendelea jijini Geneva Uswisi ambapo viongozi kutoka nchi mbalimbali wanajadili mikakati ya kutokomeza mifumo kandamizi kwa wanawake duniani kote. Leo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC imeelezea jinsi wanawake walivyopiga hatua.

Sauti
1'55"