Skip to main content

Chuja:

CCBRT

UNFPA

Ugonjwa wa fistula unatibika. Mimi ni shuhuda - Magreth Rubeni

Leo tarehe 23 Mei 2022 ni Siku ya Kutokomeza Ugonjwa wa Fistula kauli mbiu yam waka huu ikiwa ni “Tokomeza Fistula, wekeza, imarisha ubora wa huduma za afya na wezesha jamii”. Ugonjwa wa Fistula ya uzazi huwapata wanawake wakati wa kujifungua hasa wale wanaojifungua wakiwa na umri mdogo pamoja na kukosa msaada stahiki wakati wa kujifungua, ambapo viungo kama kibovu cha mkojo na njia ya haja kubwa hujeruhiwa na  kusababisha mwanamke ashindwe kujizuia haja ndogo au kubwa. Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani (WHO).

Sauti
9'3"
UN News/ UN Tanzania

CCBRTtumejizatiti kuepusha maambukizi ya COVID-19

Nchini Tanzania hospitali ya CCBRT imechukua hatua za uhakika kuhakikisha kuwa watu wenye ulemavu, wakiwemo wafanyakazi wake wanajikinga ipasavyo dhidi ya ugonjwa wa virusi vya Corona au COVID-19.

Frederick Msegela, ,Meneja wa usuluhishi na uhamasishaji kuhusu ujumuishaji wa watu wenye ulemavu CCBRT akizungumza na kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa, UNIC Dar es salaam nchini humo amesema hatua yao hiyo inazingatia kuwa takribani asilimia 6 ya wafanyakazi wake wana ulemavu na kwamba, 

Sauti
2'6"

24 JUNI 2020

Katika Jarida la Umoja wa Matafa hii leo Flora Nducha anakuletea

-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameiasa dunia kufuata katiba ya Umoja wa Mataifa inayotimiza miaka 75 wiki hii katika kutatua changamoto za dunia ikiwemo janga la COVID-19

-Nchini Tanzania hospitali ya CCBRT ambayo ina asilimia 6 ya wahudumu wake wenye ulemavu imesema inachukua hatua zote kuwalinda dhidi ya COVID-19 na kutaka serikali kuweka miundombinu ya kuwasaidia watu wenye ulemavu wakati wa janga la COVID-19

Sauti
12'43"
UN News/ UNIC Tanzania

CCBRT yatoa mafunzo yakilenga watu wenye ulemavu

Nchini Tanzania mafunzo kuhusu virusi vya Corona na jinsi ya kukabiliana navyo ambayo yanatolewa kwa watendaji wenye ulemavu katika hospitali ya CCBRT yemekuwa na manufaa makubwa wakati huu ambapo tayari taifa hilo la Afrika Mashariki limethibitisha kuwa na wagonjwa wa virusi hivyo. Ni kwa vipi basi? Tuungane na Hilda Phoya mwanafunzi anayefanya mafunzo kwa vitendo katika kituo cha habari za Umoja wa Mataifa, UNIC jijini Dar es salaam ambaye amevinjari katika hospitali hiyo.
(Taarifa ya Hilda Phoya)

Sauti
2'13"
Hospitali ya CCBRT nchini Tanzania
UN News/ UNIC Tanzania

Wafanyakazi wenye ulemavu CCBRT Tanzania wapatiwa mafunzo ya dhidi ya COVID-19

Nchini Tanzania mafunzo kuhusu virusi vya Corona na jinsi ya kukabiliana navyo ambayo yanatolewa kwa watendaji wenye ulemavu katika hospitali ya CCBRT yemekuwa na manufaa makubwa wakati huu ambapo tayari taifa hilo la Afrika Mashariki limethibitisha kuwa na wagonjwa wa virusi hivyo. Ni kwa vipi basi? Tuungane na Hilda Phoya mwanafunzi anayefanya mafunzo kwa vitendo katika kituo cha habari za Umoja wa Mataifa, UNIC jijini Dar es salaam ambaye amevinjari katika hospitali hiyo.

Sauti
2'13"