Elizabeth Maruma Mrema toka Tanzania kuwa naibu mkurugenzi mtendaji wa UNEP
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo ametangaza uteuzi wa Elizabeth Maruma Mrema kutoka nchini Tanzania kuwa naibu mkurugenzi mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa mazingira UNEP.