Nawatakia heri katika siku ya Vesak
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma salamu za heri kwa mamilioni ya waumini wa madhehebu ya Budha duniani wanaoadhimisha siku ya Vesak hii leo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma salamu za heri kwa mamilioni ya waumini wa madhehebu ya Budha duniani wanaoadhimisha siku ya Vesak hii leo.
Leo ni siku ya kimataifa ya Vesak ambayo ni siku takatifu kwa watu wa dini ya Kibudha siku ambayo inaenzi na kutamini mchango wa dini hiyo katika utamadfuni na Imani.