Upatikanaji wa mafuta na gesi Kenya ni fursa, lakini yenye athari kwa mazingira:UNEP
Matumaini ya Kenya na wananchi wake kujikomboa kiuchumi yanazidi kuongezeka hasa baada ya serikali ya nchi hiyo kutangaza mwaka 2012 kwamba wamegundua mafuta na gesi kwenye kisima cha Ngamia-1 kaunti ya Turkana Kaskazini mwa nchi hiyo.