Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Belize

17 JANUARI 2023

Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina na tunakupeleka nchini Belize, taifa la ukanda wa karibea kuona jinsi mabadiliko ya tabianchi yamesomba si tu nyumba bali pia makaburi. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo kuhusu watoto katika kaya maskini, afya, na hatari zinazokumba wahamiaji. Katika mashinani leo utasikiliza ujumbe kuhusu janga la upatikanaji wa chakula kwa mwaka huu 2023.

Sauti
12'48"