Mlinda amani kutoka Pakistani auawa DRC
Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC mlinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO, kutoka Pakistan ameuawa hii leo katika shambulio huko jimbo la Kivu Kusini.
Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC mlinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO, kutoka Pakistan ameuawa hii leo katika shambulio huko jimbo la Kivu Kusini.