Ufadhili wa Marekani waiwezesha WFP kusaidia takriban Wakenya milioni moja wanaoathirika na ukame
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP, linaongeza hatua zake za dharura kusaidia mamia kwa maelfu ya Wakenya walioathiriwa na athari za takriban miaka mitatu ya ukame.