UN yapongeza wanawake viongozi Afrika kwa kuweka mjadala wa vizazi tofauti
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J.Mohammed ameshiriki mkutano wa mtandao wa wanawake viongozi barani Afrika, AWLN, akipongeza mtandao huo kwa kuchuuka hatua za kuleta pamoja viongozi wanawake wastaafu, wale wa sasa na viongozi vijana.