Mfumo dume Afrika bado ni kikwazo kama kwingineko duniani
Miaka 25 tangu kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa wanawake huko Beijing, China bado mfumo dume umeendelea kuwa kandamizi na kuengua wanawake katika mifumo ya kiuchumi , kijamii na kisiasa.