Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Asili ya Afrika

Makaburi ya Kitaifa ya Waafrika (African Burial Ground National Monument) yana mabaki ya zaidi ya Waafrika 419 waliokuwa wamezikwa mwishoni mwa karne ya 17 na karne ya 18, katika sehemu ya makaburi makubwa zaidi ya kipindi cha ukoloni kwa watu wenye asil…
UN News/Elizabeth Scaffidi

Ripoti ya UN kuhusu masuala ya haki za fidia kwa Waafrika na wenye asili ya Kiafrika

Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, Septemba 03, imetoa ripoti ikizitaka nchi wanachama na wadau wengine kuongeza juhudi katika kuhakikisha upatikanaji wa haki za fidia kwa Waafrika na watu wenye asili ya Kiafrika. Hii ni pamoja na msamaha wa dhati, kutafuta ukweli, kuenzi kumbukumbu, kutoa msaada wa kiafya na kisaikolojia pamoja na fidia ya kifedha.