Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Archive

Hali ya utulivu yarejea Kenya

Inayofuata ni mukhtasari wa ripoti kuhusu shughuli za UM nchini Kenya ikiwa miongoni mwa harakati za kurudisha utulivu na amani kwa umma kijumla baada ya machafuko ya karibuni.

Baraza la Usalama kusikia fafanuzi za KM juu ya hali Kenya

Ijumanne, KM wa UM Ban Ki-moon aliripoti mbele ya Baraza la Usalama juu ya ziara aliyofanya majuzi Afrika ambapo alizungumzia misukosuko na vurugu liliofumka barani humo, hususan katika Chad na Kenya, na kushauriana juu ya namna ya kukidhi mahitaji ya msingi kwa waathiriwa wa vurugu.~~