Shirika la umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM, limepokea msaada wa dola 900,000 kutoka kwa serikali ya Japan ili kuwasaidia watu 200,000 ambao wanaorejea nyumbani, wakimbizi wa ndani na jamii zinazowahifadhi katika jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC.