Zama za kidijitali zadhihirisha ongezeko la pengo la usawa duniani: UN
Tofauti za kidijitali linadhihirisha pengo la usawa lililopo katika masuala ya kijamii, kitamaduni na kiuchumi amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Tofauti za kidijitali linadhihirisha pengo la usawa lililopo katika masuala ya kijamii, kitamaduni na kiuchumi amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Mwaka huu siku ya kimataifa ya lugha ya ishara inaadhimishwa katikati ya janga la corona au COVID-19, janga ambalo limemkumba kila mtu wakiwemo jamii ya viziwi, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Shirika la afya duniani WHO leo limetoa orodha ya changamoto kubwa za dharura za afya zinatakzoikumba dunia katika muongo ujao ulioanza mwaka huu.
Kongamano la kimataifa lililoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataoifa la elimu , sayansi na utamaduni UNESCO limeanza leo mjini Parma Italia likimulika jinsi gani chakula na utamaduni vinavyoweza kutoa suluhu ya changamoto zinazoikabili dunia za ongezeko la idadi ya watu duniani, mabadiliko ya tabianchi na jukwaa kwa ajili ya majadiliano ya jamii jumuishi.
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na kukuza usawa wa kijinsia na kuwaezesha wanawake, UN Women limehitimisha mkutano wake wa mwaka mwishoni mwa wiki hii mjini New York Marekani kwa makubaliano kuhusu njia za kulinda na kuboresha jinsi wasichana na wanawake watakavyoweza kufikia mifumo ya ulinzi wa kijamii, huduma za kijamii na miundombinu endelevu.
Umoja wa Mataifa leo umezindua leo ripoti yake ya kimataifa kuhusu vijana, ikisema ushirikiswhwaji wa vijana bilioni 1.2 wenye umri wa kati ya miaka 15 hadi 24 ni muhimu katika kufanikisha jamii endelevu, jumuishi na thabiti.
Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet amesema dunia haipo kwenye njia sahihi kufikia malengo ya maendeleo endelevu, SDGs.