Miaka 25 iliyopita dunia iliweka ahadi sasa ni wakati wa kuitimiza:ICPD 25
Miaka 25 ilityopita dunia iliweka ahadi ya kuhakikisha afya ya uzazi kwa wanawake na wasicha inakuwa ni haki ya msingi ili kuwawezesha kuwa huru na kufanya maamuzi ya maisha yao. Sasa umewadia wakati wa kutimiza ahadi hiyo kwa mujibu wa mkurugenzi mtendaji wa shirika la idadi ya watu duniani UNFPA, Dkt. Natalia Kanem.