Wajawazito 356,000 walionusurika katika matetemeko ya ardhi wanahitaji huduma ya afya ya uzazi kwa dharura
Miongoni mwa walionusurika katika matetemeko ya ardhi yaliyoharibu maisha huko Uturuki na Syria ni takribani wajawazito 356,000 ambao wanahitaji kupata huduma za afya ya uzazi kwa dharura.