Azimio jipya lapitishwa kuimarisha huduma za afya ya msingi duniani
Wanachama wa Umoja wa Mataifa leo kwa kauli moja wamepitisha azimio la Astana lenye lengo la kuimarisha afya ya msingi kwa kila mtu duniani.
Wanachama wa Umoja wa Mataifa leo kwa kauli moja wamepitisha azimio la Astana lenye lengo la kuimarisha afya ya msingi kwa kila mtu duniani.