Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Abdulla shahid

Raia wa Panama wenye asili ya Afrika wanatumia sauti zao kutokomeza ubaguzi wa rangi na ubaguzi.
UN Panama/Javier Conte

Ubaguzi rangi watia sumu kwenye taasisi na jamii - Guterres

Ubaguzi umeendelea kutia sumu kwenye taasisi, miundo ya kijamii na katika maisha ya kila siku, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres hii leo wakati wa mkutano maalum wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa uliofanyika jijini New York, Marekani juu ya kile kinachoitwa kuwa kichocheo cha kuhalalisha chuki, kupinga utu na kusambaza ghasia.
 

Jarida 21 Septemba 2021

Leo tarehe 21 Septemba mwaka 2021 ni siku ya amani duniani halikadhalika siku ya kwanza ya mjadala mkuu wa mikutano ya ngazi ya juu ya Umoja wa Mataifa katika makao makuu ya UN nchini Marekani.
Karibu Usikilize Jarida ambapo utasikia mengi kuhusu #UNGA76

Sauti
17'16"