Sajili
Kabrasha la Sauti
Shirika la utabiri wa hali ya hewa duniani WMO leo limesema mwaka 1029 unashikilia rekodi ya pili ya kuwa wenye joto Zaidi duniani ukiacha mwaka 2016.
Kuelekea mwaka mpya wa 2019, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametumia salamu zake za mwaka mpya akifanya tathmini ya mwaka 2018 na matarajio yake kwa mwaka mpya.