Nimesikitishwa na matokeo ya COP25 lakini sitakata tamaa- Katibu Mkuu wa UN
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, kupitia taarifa iliyotolewa na msemaji wake hii leo, amesema amesikitishwa na matokeo ya mkutano wa mabadiliko ya tabiachi ambao umekamilika leo mjini Madrid, Hispania.