Kuna madai 40 ya ukatili na unyanysaji wa kingono UN inayafanyia kazi
Umoja wa Mataifa umesema utaendelea kufuatilia na kuchukua hatua huku ukiyafanyia kazi madai yote ya unyanyasaji na ukatili wa kingono kwenye mfumo wa Umoja wa mataifa kwa kuzingatia mkakati wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa uwazi dhidi ya madai hayo.